SIMBA SC YATANGAZA KIAMA

 Nahodha wa timu ya mabingwa wa soka nchini SIMBA SC, John Bocco aelezea jinsi msimu mpya wa Ligi ulivyo kwa upande wao

 "Sisi kwetu ni amani na furaha, nauona msimu wenye mafanikio zaidi kwa club yetu," - Nahodha ya Simba SC, John Bocco.


 

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form