Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya, William Mkonda amekanusha uvumi kuwa msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema, Tumepigwa mabomu eneo la Nyamongo, amesema mabomu yalipigwa kutawanya wafuasi waliokuwa wakiwashambulia askari wa jeshi hilo.
Tags
UCHAGUZI