Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, (MNEC) Mussa Mwakitinya na Mgombea ubunge Viti maalum kupitia kundi la Vijana, Asia Hamalaga wakishirikina na wananchi katika shughuli za kijamii ikiwemo kuosha vyombo msibani katika kata ya Kagongo iliyopo katika Jimbo la Kigoma Kaskazini.
Tags
UCHAGUZI