Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limetangaza ofa kwa wahudumu wa afya ambapo sasa watasafiri kwenda sehemu yoyote duniani kwa nusu nauli ikiwa ni kutambua mchango wao katika kukabiliana na virusi vya corona. Ofa hiyo ni kwa madaraja yote (business na economy).
Tags
BREAKING NEWS