Klabu ya Borussia Dortmund imethibitisha kuwa winga Jadon Sancho na kipa Roman Burki watakosa mchezo wa Kombe la Super Cup Jumatano hii dhidi ya Bayern Munich kutokana na kuwa na shida ya kupumua. Wawili hao wamepimwa ugonjwa wa Corona na kukutwa hawana maambukizi.
Tags
SPORTS