WANANCHI WA RORYA WAMTAKA CHEGE KUKOMESHA WEZI WA MIFUGO

Wananchi wa Kijiji cha Sudi kata ya Mirare Wilayani Rorya Mkoani Mara wamemwomba mgombea ubunge jimbo la Rorya kwa tiketi ya CCM, Jafari Chege kushugulikia changamoto ya wizi wa mifugo endapo akichaguliwa kuongoza jimbo hilo.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form