WAHAMIAJI HARAMU WAISHIO MAKABURINI WAKAMATWA

Wahamiaji haramu 6 waliokuwa wameweka kambi katika Makabuli ya Kipagamo nje kidogo ya mji wa Makambako Mkoani Njombe wamekamatwa na kikosi cha uhamiaji mkoani Njombe wakitokea Ethiopia.Huku watanzania 2 wakishikiliwa kwa tuhuma za usafirishaji wa raia wa kigeni kinyume na sheria










Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form