ZANZIBAR: WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS.

Mohammed Aboud Mohammed amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM >>Awa mwanachama wa 20 wa chama hicho kujitosa ktk kinyang'anyiro hicho.

>>Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe. Mohammed Aboud Mohammed amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi.
  


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form