CHINA YAGUNDUA AINA NYINGINE YA GONJWA HATARI

Aina mpya ya mafua ambayo inaweza kuwa janga kubwa la kiafya imegunduliwa na Wanasayansi nchini humo. Mafua hayo ni aina mpya ya virusi na kutokana na hilo, inawezekana binadamu wana kinga mwili ndogo ya kupambana nayo au hawana kabisa

Imeelezwa kuwa mafua hayo yapo kwa nguruwe lakini binadamu wanaweza kuambukizwa. Wanasayansi hao wana hofu kwamba mafua hayo yanaweza kusambaa kirahisi na kusababisha mlipuko

Hata hivyo, Watafiti wamesema mafua hayo yanaweza yasiwe tatizo kwa sasa japokuwa suala hilo linahitaji uangalizi wa karibu kwasababu binadamu wanaweza kuambukizwa

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form