WAANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI WAREJEA MASHULENI TENA.


   >>>Soma zaidi>>>

Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini Tanzania leo wanarejea shuleni kuendelea na masomo baada ya shule zote kufungwa kwa zaidi ya miezi mitatu ikiwa ni sehemu ya hatua zilizochukuliwa na serikali katika kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona. #COVID19

        

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form