Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. John Jingu akizugumza wakati wa kikao alipokutana na timu ya Wataalam wa CIMA Research Foundation wanaorasimisha mfumo wa MYDEWETRA kwa ajili ya tahadhari ya mapema kabla ya maafa kutokea kilichofanyika Ukumbi wa Ofisi hiyo Oktoba 06, 2022 Jijini Dodoma.
Mtafiti kutoka Taasisi ya CIMA Foundation Bi. Anna Mapelli akieleza jambo wakati wa kikao hicho.
Mtafiti wa Taasisi ya CIMA Foundation Bw. Antonio Libroia akiwasilisha hoja kuhusu utekelezaji wa mfumo wa MYDEWETRA kwa ajili ya tahadhari ya mapema walipokutana Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dodoma Oktoba 06, 2022.
Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia kikao cha kupokea taarifa ya Wataalam wa CIMA Research Foundation wanaorasimisha mfumo wa MYDEWETRA kwa ajili ya tahadhari ya mapema walipokutana Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dodoma Oktoba 06, 2022