Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. Geroge Simbachawene akizungumza na wananchi wa kata ya Pwaga na Luhundwa alipotembelea na kufanya mikutano ya hadhara katika jimbo la kibwakwe Halmashauri ya Mpwapwa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. Geroge Simbachawene akikagua utekelezaji wa Operesheni anwani Makazi katika Kijiji cha Mpwanila kata ya Luhundwa katika jimbo la Kibakwe Halmashauri ya Mpwapwa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. Geroge Simbachawene akikagua utekelezaji wa Operesheni anwani Makazi katika Kijiji cha Ikuyu kata ya Luhundwa katika jimbo la kibakwe halmashauri ya Mpwapwa.